TAALUMA

Shule ya Sekondari Kishumundu inafundisha michepuo ya Biashara na sayansi pamoja na sanaa.

Masomo ya sayansi yanayofundishwa shuleni ni Baiologia, Fizikia, Kemia, Hisabati pamoja na masomo ya sanaa kama. Historia, Kiswahili, Jiografia, uraia na Kiingereza na masomo ya Biashara na utunzaji wa Mahesabu, pia shule inafundisha masomo ya Sayansi na Teknolojia kama kompyuta na masomo ya Vitendo.

Wanafunzi wa kidato cha tatu wakijifunza kwa vitendo somo la kemia katika chumba cha maabara.

Wanafunzi wa kidato cha kwanza wakiwa darasani katika kipindi cha baiyologia.

DARASA LA KWANZA HADI LA NNE WA (2021)

 

Contact

Please share this page with friends

Flyer / Overview

 

Please visit our Latest News page for information about recent activities

at our school.

 

Our School: How everything started (Pics) - Historical Pictures of KSS

Kilimanjaro Skills Support: A new organization to support the development of our school was founded.

 

Online Study Resources at TETEA.

 

Great hand-over ceremony of the girls dormitory extensions. Please visit Latest News for more information!